114 : 1
قُلْ أَعُوذُ بِرَبِّ ٱلنَّاسِ
Sema: Ninajikinga kwa Mola Mlezi wa wanaadamu, [1]
114 : 2
مَلِكِ ٱلنَّاسِ
Mfalme wa wanaadamu, [2]
114 : 3
إِلَـٰهِ ٱلنَّاسِ
Mungu wa wanaadamu, [3]
114 : 4
مِن شَرِّ ٱلْوَسْوَاسِ ٱلْخَنَّاسِ
Na shari ya wasiwasi wa Shetani, Khannas, [4]
114 : 5
ٱلَّذِى يُوَسْوِسُ فِى صُدُورِ ٱلنَّاسِ
Anaye tia wasiwasi katika vifua vya watu, [5]
114 : 6
مِنَ ٱلْجِنَّةِ وَٱلنَّاسِ
Kutokana na majini na wanaadamu. [6]