113 : 1
قُلْ أَعُوذُ بِرَبِّ ٱلْفَلَقِ
Sema: Najikinga kwa Mola Mlezi wa mapambazuko, [1]
113 : 2
مِن شَرِّ مَا خَلَقَ
Na shari ya alivyo viumba, [2]
113 : 3
وَمِن شَرِّ غَاسِقٍ إِذَا وَقَبَ
Na shari ya giza la usiku liingiapo, [3]
113 : 4
وَمِن شَرِّ ٱلنَّفَّـٰثَـٰتِ فِى ٱلْعُقَدِ
Na shari ya wanao pulizia mafundoni, [4]
113 : 5
وَمِن شَرِّ حَاسِدٍ إِذَا حَسَدَ
Na shari ya hasidi anapo husudu. [5]