112 : 1
قُلْ هُوَ ٱللَّهُ أَحَدٌ
Sema: Yeye Mwenyezi Mungu ni wa pekee. [1]
★
112 : 2
ٱللَّهُ ٱلصَّمَدُ
Mwenyezi Mungu Mkusudiwa. [2]
★
112 : 3
لَمْ يَلِدْ وَلَمْ يُولَدْ
Hakuzaa wala hakuzaliwa. [3]
★
112 : 4
وَلَمْ يَكُن لَّهُۥ كُفُوًا أَحَدٌۢ
Wala hana anaye fanana naye hata mmoja. [4]
★