105 : 1
أَلَمْ تَرَ كَيْفَ فَعَلَ رَبُّكَ بِأَصْحَـٰبِ ٱلْفِيلِ
Kwani hukuona jinsi Mola wako Mlezi alivyo watenda wale wenye tembo? [1]
★
105 : 2
أَلَمْ يَجْعَلْ كَيْدَهُمْ فِى تَضْلِيلٍ
Kwani hakujaalia vitimbi vyao kuharibika? [2]
★
105 : 3
وَأَرْسَلَ عَلَيْهِمْ طَيْرًا أَبَابِيلَ
Na akawapelekea ndege makundi kwa makundi, [3]
★
105 : 4
تَرْمِيهِم بِحِجَارَةٍ مِّن سِجِّيلٍ
Wakiwatupia mawe ya udongo wa Motoni, [4]
★
105 : 5
فَجَعَلَهُمْ كَعَصْفٍ مَّأْكُولٍۭ
Akawafanya kama majani yaliyo liwa! [5]
★