103 : 1
وَٱلْعَصْرِ
Naapa kwa Zama! [1]
103 : 2
إِنَّ ٱلْإِنسَـٰنَ لَفِى خُسْرٍ
Hakika binaadamu bila ya shaka yumo katika khasara, [2]
103 : 3
إِلَّا ٱلَّذِينَ ءَامَنُوا۟ وَعَمِلُوا۟ ٱلصَّـٰلِحَـٰتِ وَتَوَاصَوْا۟ بِٱلْحَقِّ وَتَوَاصَوْا۟ بِٱلصَّبْرِ
Ila wale walio amini, na wakatenda mema, na wakausiana kwa haki, na wakausiana kusubiri. [3]